daaah ni furaah yangu kua mmoja wa watu katika jamiiforums ambaye nitaweza kushare post mbalimbali na wezangu pia na kubishana kwa hoja Katika Post Za member wengine
ww MUUMINI wa PINDALISM, jukwaa lina wenyewe hili, no JUHA's allowed, ccm imekutuma!
umekalibisha ukalibisho safi....kalibu.....hahahaha karibu bana