Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka nawe utakuwa shabiki yake no 2,ukianza na mm,maana siyo kwa kumfatilia ukoHuyu jamaaa ulimakavu yeye ni kukaribisha wageni tuu zaidi ya hapo sijawahi ona coment yake kwenye nyuzi zingine wa akianzisha uzi wala like
Bila shaka nawe utakuwa shabiki yake no 2,ukianza na mm,maana siyo kwa kumfatilia ukoHuyu jamaaa ulimakavu yeye ni kukaribisha wageni tuu zaidi ya hapo sijawahi ona coment yake kwenye nyuzi zingine wa akianzisha uzi wala like
Twitter wengi wanajielewa...ila sio insta na fb..huko ndo kuna mapoyoyo wengiUmetokea fb? Kama ndivyo, utoto wa fb, instagram na twiter uuache hukphuko plz
Bila shaka nawe utakuwa shabiki yake no 2,ukianza na mm,maana siyo kwa kumfatilia uko
By the way huenda yuko busy hana muda wa kuanzisha nyuzi,kwa mtazamo wangu atakuwa ni baba wa familia mwenye watoto si chini ya 3
Au hapendi kuongea sanaaaa,basi anaishia kukaribisha wageni tu,najua hata hii comment hata I quote coz si muongeaji maybe Ku like kama akipita.
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.Hello