BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Habarini
Naomba kuulizia kwa yeyote anaefahamu sehem nzur ya kawaida ya kupumzika ambapo unaweza kula ama kunywa huku ukiwa unaview bahari na kupata upepo...nafikiri christamass hii sehem kama hizo ndizo za kwenda ukizingatia na joto hili la dar.
Asanteni. and meryy christmass and happy new 2017 to all JF members.
Naomba kuulizia kwa yeyote anaefahamu sehem nzur ya kawaida ya kupumzika ambapo unaweza kula ama kunywa huku ukiwa unaview bahari na kupata upepo...nafikiri christamass hii sehem kama hizo ndizo za kwenda ukizingatia na joto hili la dar.
Asanteni. and meryy christmass and happy new 2017 to all JF members.