Muntu Mubhibhi
Member
- Dec 18, 2012
- 8
- 2
Wana JF nasema habari zenu kwa pamoja!
baada ya kuifatilia JF kwa mda wa kutosha na mimi nimevutiwa kuwa mmoja wa wachangiaji nikiwa naamini ni mwanamapinduzi wa kweli katika harakati za kuikomboa nchi yetu kutoka kwa wasioitakia mema.
Nchi yenye kila neema,lakini waroho wachache wanataka waifaidi peke yao.
Haya nimeshaingia humu tutaonana sana.
baada ya kuifatilia JF kwa mda wa kutosha na mimi nimevutiwa kuwa mmoja wa wachangiaji nikiwa naamini ni mwanamapinduzi wa kweli katika harakati za kuikomboa nchi yetu kutoka kwa wasioitakia mema.
Nchi yenye kila neema,lakini waroho wachache wanataka waifaidi peke yao.
Haya nimeshaingia humu tutaonana sana.