Hello wana JF

Kajuni

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2009
Posts
483
Reaction score
186
Dear all,

Kwa heshima na tahadhima napenda kuchukua fursa hii adimu kuwasalimieni wote wana JF.
Ni ukweli usiopingika kwamba njii hii ya mawasiliano inatupatia fursa ya kuweza kupata mitazamo mbali mbali kuhusiana na jamii inayo tuzunguka.
Ama kwa hakika najisikia vizuri kuwa miongoni mwa wana jamii na nategemea kuongeza chachu zaidi katika mada mbali mbali.

Okay wadau sina mengi.....one important message. "You never get a second chance to a make a good first impression".

Best regards,

K mkubwa.
 
Wellcome on board Kajuni aka Mkubwa. Tunataraji makubwa kutoka kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…