Doen Gotez
Member
- Nov 19, 2019
- 21
- 14
Mimi ni mgeni naomba mnikaribishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia sana kuna wez huku ucje ibiwa hata meno yakoMimi ni mgeni naomba mnikaribishe
Jinsia tafadhali na pichaMimi ni mgeni naomba mnikaribishe
Mimi jina langu ni Doen GotezKaribu sana
Mimi huko twiter naitwa kigogo2014 wewe unatumia jina gani.
Aseeh niko makini sana mkuuAngalia sana kuna wez huku ucje ibiwa hata meno yako
Tumekuona mkuu,sema nyie wavaa miwani nyieView attachment 1268182jinsia yangu ni ya kiume mkuu
Asante sana mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
Aseeh umenifurahisha sana mkuu, asanteni asanteni sana kwa kunikaribisha. Niko sawa mkuuTumekuona mkuu,sema nyie wavaa miwani nyie
karibu lakini,hakikisha unaiweka miwani vizuri kuna mada humu
unaweza jikuta umevua miwani umerusha kuleeee
Karibu kamanda, kuna boss wetu anaitwa kiduku lilo, ukihitaji gari muone yeye anajua magari na anayo mengi tuMimi ni mgeni naomba mnikaribishe
Zawadi huwa haisemwi ila naanza kutoa kesho.umekuja na zawadi gani?
yangu ipo?Zawadi huwa haisemwi ila naanza kutoa kesho.
Naam mkuu ipo?yangu ipo?
kabisa mkuuTumekuona mkuu,sema nyie wavaa miwani nyie
karibu lakini,hakikisha unaiweka miwani vizuri kuna mada humu
unaweza jikuta umevua miwani umerusha kuleeee
zeroIQ umemsahau mkuuKaribu kamanda, kuna boss wetu anaitwa kiduku lilo, ukihitaji gari muone yeye anajua magari na anayo mengi tu