Hello,

Nafeti

New Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
1
Reaction score
0
Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema?
 
Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema?


Kimsingi unakaribishwa sana...

Lakini unapouliza kunalipi jema, ina maana hujaona lolote, basi ninini kilichokuleta?

Mi nilidhani umeyaona mema mengi ndo ukaamua kuja!!! te he te heee!
Karibu bana, wewe ni chanzo muhimu cha hayo mema unayoyataka.
 
Atakuwa ameyaona mengi tu ndo maana ameingia hapa home of ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…