N Nafeti New Member Joined Aug 3, 2009 Posts 1 Reaction score 0 Aug 3, 2009 #1 Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema?
N ndonde Member Joined Dec 13, 2008 Posts 29 Reaction score 1 Aug 3, 2009 #2 Karibu ndani ya JF, umetuletea zawadi gani?
The Farmer JF-Expert Member Joined Jan 7, 2009 Posts 1,658 Reaction score 559 Aug 3, 2009 #3 Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Karibu, ingia mpaka ndani. Jisikie uko nyumbani.
Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Karibu, ingia mpaka ndani. Jisikie uko nyumbani.
Mvina JF-Expert Member Joined Aug 2, 2009 Posts 998 Reaction score 34 Aug 4, 2009 #4 Hadi chumbani we ingia tu!
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,199 Reaction score 8,761 Aug 4, 2009 #5 Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Kimsingi unakaribishwa sana... Lakini unapouliza kunalipi jema, ina maana hujaona lolote, basi ninini kilichokuleta? Mi nilidhani umeyaona mema mengi ndo ukaamua kuja!!! te he te heee! Karibu bana, wewe ni chanzo muhimu cha hayo mema unayoyataka.
Nafeti said: Wakubwa najitambulisha kama hivi nipo ndani ya JF, kuna lipi jema? Click to expand... Kimsingi unakaribishwa sana... Lakini unapouliza kunalipi jema, ina maana hujaona lolote, basi ninini kilichokuleta? Mi nilidhani umeyaona mema mengi ndo ukaamua kuja!!! te he te heee! Karibu bana, wewe ni chanzo muhimu cha hayo mema unayoyataka.
Mvina JF-Expert Member Joined Aug 2, 2009 Posts 998 Reaction score 34 Aug 8, 2009 #6 Atakuwa ameyaona mengi tu ndo maana ameingia hapa home of ...