Hello

Karibu. Interesting name . . . . Why Rich Woman?
 
Mimi pia mgeni japo nimekuwa nafuatilia michango mingi ya watu humu ndani.
Kuna watu nawaheshimu sana humu japo wapo vijana wengine (serengeti boys) hawajatulia...hivyo usiwe na wasi wasi mama tupo pamoja...
Karibu sana!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…