hello

grand-mal

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
337
Reaction score
176
Nakuja kwenu wafikiriaji na wafikirishaji makini, nategemea kujifunza na kufunza mengi hapa JF. Nilikuwa nje nikaona jinsi mnavyofaidi humu, nimeamua kuwafuata.

Sifungamani na dini yoyote wala chama chochote cha siasa, napenda haki na heshima kwa kila binadamu. Hodi hodi.
 
Nikaribisheni basi au hamtaki wageni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…