Hello

Hello

Karibu Dr @Lugoma karibu mpaka ndani. Hapo kwenye fridge kuna vinywaji mbali mbali na vitafunio. Chagua upendavyo ujiburudishe. Karibu sana Mkuu.

 
Last edited by a moderator:
Krb Dr.,
Nadhani wewe si Dr kama wale kina Dr Love Pimbi wala Dr. wa kuleta mvuto wa mapenzi, na kurudisha mpenzi aliyepotea!
wala si dr ambaye umepewa u-dokta bila kufanya andiko kama nanihi!
kama ndivyo basii JF dokta inakusubiri kuna foleni ya patients pale!

Karibu sana dokta!
 
Jf mm ni mgeni naomba kukaribishwa

Karibu Dr @Lugoma karibu mpaka ndani. Hapo kwenye fridge kuna vinywaji mbali mbali na vitafunio. Chagua upendavyo ujiburudishe. Karibu sana Mkuu.



Karibu JF.

Krb Dr.,
Nadhani wewe si Dr kama wale kina Dr Love Pimbi wala Dr. wa kuleta mvuto wa mapenzi, na kurudisha mpenzi aliyepotea!
wala si dr ambaye umepewa u-dokta bila kufanya andiko kama nanihi!
kama ndivyo basii JF dokta inakusubiri kuna foleni ya patients pale!

Karibu sana dokta!

Karibu sana JF.

matumaini yetu ni kuona ile wonderful hospitality.

Welcome to the world dr.


Karibu sana JF...
Na mimi nafarijika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom