Ni karibia mwaka mmoja tangu gazeti pendwa mwanahalisi lifungiwe na serikali ya ccm,natumaini mwanahalisi lingekuwepo tungejua nani alimteka ABSOLOM KIBANDA,mauaji ya MWANGOSI yangekuwa wazi na mabaya mengine mengi yangekuwa bayana.Natumaini ipo siku ukweli utajulikana mbele ya umma na waliofanya hila juu la hili watakuja kuomba radhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.