Hello

NafanyaYangu

Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
67
Reaction score
9
Habari members,
Mimi mgeni hapa, napenda kushirikiana na nyinyi!
In short ni dume, mwanafunzi wa chuo, mcheshi, mbishi, mkosoaji, sina chama wala sishabikii mpira
Naamini kuna Mungu
Na ningependa kufanya urafiki na watu wote
 
Tuko pamoko mkuu!
Nimecheka sana uliposema wewe m'bishi! Hahahahaha!
 
Habari members,
Mimi mgeni hapa, napenda kushirikiana na nyinyi!
In short ni dume, mwanafunzi wa chuo, mcheshi, mbishi, mkosoaji, sina chama wala sishabikii mpira
Naamini kuna Mungu
Na ningependa kufanya urafiki na watu wote

... Ila hujasema kitu fulani unachokipenda sana .......hali kadhalika unachokichukia ........
 
... Ila hujasema kitu fulani unachokipenda sana .......hali kadhalika unachokichukia ........

Mimi kwakweli nachukia uongo, kuvungiwa, uonevu
na kuvunjwa moyo! Vingine vyote havina shida
 
Kama huna chama na hupendi kandanda sasa huo ubishi wako huwa ni nin hasa ama mihadhara....
 
Mkuu, Most welcome...Mazuri yeu chukuwa yatakufaa na baya yetu acha humuhumu...Karibu paomja na wewe tutafika.Good luck ! na kila la heri.
 
Kwanza karibu pili kweli ww mbishi humu kuna wabishi balaaaa karibu sana mkuu
 
Shukrani, mi siamini uwepo wa mabaya naamini kuna kukosea
Mpendwa jioni njema, Umenifurahisha kwakuwa upo optimistic kuwa uzuri ni 100% !! ThankYou hayo ndiyo yatakayotufikisha.... bahari hii tunakutana na samaki wa aina nyingi..game ipo upande wako "utamaduni wetu ndiyo dira yetu" good luck and success ahead.
 
Karibu JF @NafanyaYanngu. mbishi.
 
Karibu sana mbishi jamvini, lakini kuwa makini humu kuna wabishi zaidi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…