Hello

Hello

Ladymasa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
877
Reaction score
335
Naamini mpo salama katika jumuia hii ya jamiiforum, mimi nmekua msomaji tu kwa muda wa miezi karibia mwaka. Naomba mnipokee, nilikua siifahamu jamiiforum, kuna rafiki yangu alinitambulisha
 
Na nimekupa "like" ya kwanza kabisa Ladymasa....

Itakuwa poa sana tukiendelea kuwa wote hapa Jamvini!!
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana, jf tupo powa! naona una history kama yangu
 
Naamini mpo salama katika jumuia hii ya jamiiforum, mimi nmekua msomaji tu kwa muda wa miezi karibia mwaka. Naomba mnipokee, nilikua siifahamu jamiiforum, kuna rafiki yangu alinitambulisha
Tupo safi kabisa karibu.
 
Naamini mpo salama katika jumuia hii ya jamiiforum, mimi nmekua msomaji tu kwa muda wa miezi karibia mwaka. Naomba mnipokee, nilikua siifahamu jamiiforum, kuna rafiki yangu alinitambulisha

Karabu kwenye raha na karaha
 
Jamani nawashukuru sana wote mlionikaribisha. tupn pamoja.
 
Back
Top Bottom