M Maturo Member Joined Aug 12, 2009 Posts 6 Reaction score 0 Aug 12, 2009 #1 hi everybody! ckujua kam kuna jf yaani laiti ningejua long time
B Babuyao JF-Expert Member Joined Jun 6, 2009 Posts 1,741 Reaction score 272 Aug 12, 2009 #2 karibu mkuu
Sinkala JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 1,773 Reaction score 688 Aug 12, 2009 #3 Maturo said: hi everybody! ckujua kam kuna jf yaani laiti ningejua long time Click to expand... Nadhani ulikuwa unaijua JF, ila sema tu hukujua mapema kwamba JF inaweza kukusaidia kutangaza ile nyumba inayopangishwa kule Mbezi !! Karibu sana mkuu, ila usisahau kutuwekea bei na picha ya hiyo nyumba!
Maturo said: hi everybody! ckujua kam kuna jf yaani laiti ningejua long time Click to expand... Nadhani ulikuwa unaijua JF, ila sema tu hukujua mapema kwamba JF inaweza kukusaidia kutangaza ile nyumba inayopangishwa kule Mbezi !! Karibu sana mkuu, ila usisahau kutuwekea bei na picha ya hiyo nyumba!
I ImalaMakoye New Member Joined Aug 12, 2009 Posts 4 Reaction score 0 Aug 13, 2009 #4 Siyo hukujua mapema kaka,wakati ukifika ndo umefika,kila jambo na wakati wake.