Hellooooooooooo great thinkers.

KARLMARX.

Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
5
Reaction score
0
Wadau, jf inanipa raha sana na sijui nianzie wapi. Nafurahi kuwa mwanachama, naomba ushirikiano wenu ili niweze kuifaidi vizuri kama nyie wanaharakati wenzangu. Avetar na majina yaliopo humu ndani pamoja na quotation zinashangaza sana. Ningependa pia kuweka zakwangu lakini siwezi. Busara zilizopo humu zinaonyesha wana jamvi ni watu makini sana.
Hakika jf is a strategic thinking tank.

Naomba kuwasilisha wakuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…