Golden felician
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 216
- 36
Now am not a stranger.Karibu mkuu
Acha za fb kijana....haha haaa.....Mgeni jamani.natumai wote members wa hili jamvi mmenikaribisha.naombeni ushirikiano wenu jamani
Pokea like ya kwanza toka kwanguMgeni jamani.natumai wote members wa hili jamvi mmenikaribisha.naombeni ushirikiano wenu jamani
Karibu mkuu umepata bahati ya kukutana na the Great thinker kuliko wote jamii forum mr Zero IQ.Mgeni jamani.natumai wote members wa hili jamvi mmenikaribisha.naombeni ushirikiano wenu jamani
Mimi nina divs3 ya 23.lakini Nina D ya mathematics na chemistry ila physics na biology Nina C.kuna uwezekano wa kuchaguliwa PCB kwa shule za serikali za kidato cha tanoKaribu mkuu umepata bahati ya kukutana na the Great thinker kuliko wote jamii forum mr Zero IQ.
Ukiwa na tatizo lolote la kiufundi karibu sana PM.
Amekuambia uende PMMimi nina divs3 ya 23.lakini Nina D ya mathematics na chemistry ila physics na biology Nina C.kuna uwezekano wa kuchaguliwa PCB kwa shule za serikali za kidato cha tano