Hellow jf

Karibu sana j.f! Hata mm ni mgeni ila nashindwa namna ya kuanza kutoa mada kama wenzangu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Mkojo na mate!
Sory wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu hivi ni kwa nn baadhi ya wanaume hua wakijisaidia haja ndogo ni lazma watemee hapo mate!!na vile vile kama mnaongozana wawili au watatu mmoja akaingia chaka kukojoa na wengine unawaona haoo nao wanakojoa hv inakuwaje hili??? Nawasilisha
 
Weka picha
 
Tanzania ya viwanda!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…