Hellow JF

Skorondinga

Member
Joined
Nov 19, 2018
Posts
20
Reaction score
8
Habar wana jukwaa mi mgeni jamii forum,napenda kuungana na ndugu zangu kuchangia mawazo maoni mbalimbali pia kujifunza,asanteni
 
Umeijuaje JamiiForums? Kipi kimekusukuma kujiunga na JF?
 
Nimeifahamu kupitia google,nmekuwa napendelea kugoogle mambo ya biashara sasa wananidirect jf,nkisoma huko nakutana na mawazo kuntu mpaka nkashawishika kujoin
 
karibu sana... ila kumbuka kuzungushia chumvi kifaa unachotumia kupostia... kuna mashetani wengi mno humu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…