PSG Pambanaji
JF-Expert Member
- Jan 4, 2020
- 222
- 146
Fanya uje na maji ya kunywa thn unitajie yako kwanzaNamba simu tafadhali
Alf we yako 1 tuMajina yako matatu yaliyopo kwenye kitambulicho cha Taifa (NIDA
Mimi yangu niliiweka siku najitambulisha. naona unataka kukiuka taratibuFanya uje na maji ya kunywa thn unitajie yako kwanza
Jamn nixatuma hao waendexji cjui n moderetors?bc waneibana wanafanyia tafit nahcMimi yangu niliiweka siku najitambulisha. naona unataka kukiuka taratibu
Umeandika lugha gani?Jamn nixatuma hao waendexji cjui n moderetors?bc waneibana wanafanyia tafit nahc
Ahsante sana mheshimiwaKaribu
Baada ya kuwa mpitiaji wa makala na msomaji hata nikitafuta kitu google majibu mengi hutoka humu,na baadaye nikabaini humu ni kuzuri kweli,sasa ni rasmi nimejiunga nanyi naomba ushirikiano wenu kama mwanachama mwaminifu