Hellow wana Jamiiforums, Naomba kukaribishwa

Bill gates

New Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
2
Reaction score
0
Mimi ni mgeni wa Jamiiforum, nilijiunga wiki chache zilizopita lakini sikupata muda wa kuanza kuzungumza na wahusika humu.

Naomba nikaribishwe nikiamini itifaki imezingatiwa.

Umri wangu miaka 25
jinsia: ME

Kama kuna kanuni,amri,sheria au taratibu mnielekeze hasa wale wakongwe/wahenga.

Asanteni na MUNGU AWABARIKI NYOTE HUMU NDANI.
 
Duh....fb vp???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…