Hellow. Wana jf, naitwa mjuzi wa juzi ni member mpya wa jamii forum na omba usaidizi wa kutambua zaidi kuhusu jamii forum

Background Check

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2019
Posts
341
Reaction score
498
Naitwa Mjuzi wa Juzi, ni mwana jf mpya kabisa kwa miaka kadhaa nimwkuwa msomaji tu tu lakini leo nimeamua kujiunga. Asanteni sana
 
Mbona hii njia sikuipita na Mimi?au enzi zile hatukuwa tunaanzia uku??

Anyway jf nawashauri wanaojiunga waje na vyeti vya kuzaliwa,cha ndoa(kam umeolewa/umeoa,mwakyembe ndo anahitj sio Mimi nimesema)

Mwisho kabisa wapimwe akili kam sio (oil)
 
Anamaanisha utume jina lako kamili,namba ya simu,picha yenye sura yako na birth certificate
Cheti cha kuzaliwa sinaga mkuu, labla namba ya simu. Ambayo nimejaza kwenye detail za kujiunga jamii forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…