Hellow

Joined
Oct 12, 2016
Posts
32
Reaction score
13
Hellow Guyz Am new here,And All I need Is Your Support.
And Am Happy To be Here At Jamii Forum, Love you All......
 
umgeni umekuaja na nin???,,
ela ya kiingilio napokea mim.
jitambulishe vzur na kiundan
 
umgeni umekuaja na nin???,,
ela ya kiingilio napokea mim.
jitambulishe vzur na kiundan


ha ha ha Kimbugu, Tafadhali bhana Pesa Ya Kiingilio ntalipa wala Usijali Si Unajua Baba Jesca na Mdogo Wake Wamezuia Mikopo!!???....
Naahidi Punde Akitupatia,Ntakuletea Ndugu Niwie Radhi......
 
ha ha ha Kimbugu, Tafadhali bhana Pesa Ya Kiingilio ntalipa wala Usijali Si Unajua Baba Jesca na Mdogo Wake Wamezuia Mikopo!!???....
Naahidi Punde Akitupatia,Ntakuletea Ndugu Niwie Radhi......
Lah! utazulumiwa ndugu weka macho kodo!
 
Mkuu naamini hilo ni jina lako halisi!

Nakushauri omba ubadilishiwe uwekewe fake Id maana huku watu ni nuksi.

Zaidi ya hapo nakutakia kila la kheri humu Jukwaani!
 
Mkuu naamini hilo ni jina lako halisi!

Nakushauri omba ubadilishiwe uwekewe fake Id maana huku watu ni nuksi.

Zaidi ya hapo nakutakia kila la kheri humu Jukwaani!


Asante Mkuu Ntafanyia Kazi Ushauri Wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…