Sio kwenye prfl yaani unapost picha yako tukuone hata sisi wengine tulipojiunga tulipost na picha ili tutambuanenimechukua mda mrefu kuingia jf bila kua member, members karibia wte hawaeki pic, na mm ni mwanasiasa so itakuaje siku nitakayotoa hoja nikashuhulikiwa
Wallah ukijaribu kuweka picha utaisoma number???? sijakuelewa wallah
Mbuta[emoji87] [emoji87] [emoji87]Sio mgeni huyu msijisumbue kabisa ,namjua akibisha aseme nimtaje
Mambo si ndo hayoo!!fasta bhana niko hapa stendi nasubiria[emoji86] [emoji86] [emoji15] [emoji15] [emoji15]anhaa ntapost ndo natafuta hp
UmechelewaKaribu sana Aleesha.
Jisikie uko nyumbani kabisa
Nikishakukaribisha mimi humu JamiiForums huna haja ya kukaribishwa na yeyote.
Karibu sana
Basi kama umekaribia usiache kuja na mashelisheli pamoja na mafenesiahsante sana nimekaribia i hop nitajifunza mengi
ha ha haasigwa mbona umepotea hivi jamaniiii, yaani kidogo nianzishe uzi hapa JF wa kukutafuta kama Mshana jr anavyotafutwa akipotea!
Au ulikuwa Bariadi katika shughuli ya kuzima Mwenge? wewe hukurudisha posho? hahahahahahahhha ha ha
mkuu nipo aiseeee majukumu tu ndio yanabana si unajua tena.
Nakuona bado na wewe upo jamvini tu aisee
ha ha haAu ulikuwa Bariadi katika shughuli ya kuzima Mwenge? wewe hukurudisha posho? hahahahahahahh
Mpe nywila (passoword) zote hadi za bank hahahhahaahha ha ha
hapana mkuu, nina mwanamke mmoja mtata sana aisee.
Siku akiamka vibaya huwa ananifungia ndani na kuninyang'anya pasiwedi zote, nashindwa kuingia hata mtandaoni.
so itanisaidia nn mm nimekuja hapa kujitambulisha as member sijaja kutafuta frnds wala kuja kujieka km mal o femal so ndo mfano nikidanganya itanisaidia nnHuyu wa kiume wadau msiadaike naye ,kwanza mara ya kwanza aliandika yeye ni male kabla hajaweka avatar
Baadaye alivyoona watu wamemuhisi yeye ni ke akabadili profile yake na kuandika female