hellow

so itanisaidia nn mm nimekuja hapa kujitambulisha as member sijaja kutafuta frnds wala kuja kujieka km mal o femal so ndo mfano nikidanganya itanisaidia nn
Ha ha ha, ma mafia huwa hatudanganywi tumia Id yako ya siku zote bob
 
ila [part of my pic ipo kwny prfl
Dah huo mdomo ni wako ? Kuna wadau humu eti walisema ukitaka kujua ...angalia mdomo sijui kama ni kweli

Ngoja nikuache tu ukaribishwe na wengine
Kwangu hapo maji marefu
 
Yaani wew si ata mgeni wageni huwa wanauwoga flani wawapo sehemu ngeni lakin wew unaendelea kuuvunja mwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…