Hellow

Si kiben10 Davet kakuambia kodi inaisha soon ukamlipie, wewe umemjibu kivingine..
[emoji23][emoji23]hahah mkuu umenichongea bhn sikua na maana hiyo kabisa....
Kheeee we Davet ebu kuna hapa mwenyewe siishi kwenye nyumba ya fance nipo nanjilinji huku na chumba changu kimoja
Wala usijari mimi sikua na maana ya kutaka kulipiwa kodi maana nitakubebesha mzigo mzito sana
 
[emoji23][emoji23]hahah mkuu umenichongea bhn sikua na maana hiyo kabisa....

Wala usijari mimi sikua na maana ya kutaka kulipiwa kodi maana nitakubebesha mzigo mzito sana
Sasa ukiwa kiben10 matumizi yako lazima akugharamie bana
 
[emoji23][emoji23]hahah mkuu umenichongea bhn sikua na maana hiyo kabisa....

Wala usijari mimi sikua na maana ya kutaka kulipiwa kodi maana nitakubebesha mzigo mzito sana
Sio utanibebesha wakulipa nani me ngoma ngumu jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…