Hichi kicheko ni cha mwendo wa Bombardier kabisa...
HahahaaKwa mujibu wa Shunie
Ndiwoooo kivulanaKumbeeee
Nakupenda pia jamaniNdio maana nakupendaga
Hongerahahahaha kumbe sijawahi date na big mama[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....so am not kiben 10
Jamani Shunie, eti kivulanaa Lol!Ndiwoooo kivulana
Sikumaanisha fensi ya nyumba ila nilimaanisha umekataa kumlipia kodi kiben10 wako DavetKheeee we Davet ebu kuna hapa mwenyewe siishi kwenye nyumba ya fance nipo nanjilinji huku na chumba changu kimoja
[emoji23][emoji23]hahah mkuu umenichongea bhn sikua na maana hiyo kabisa....Si kiben10 Davet kakuambia kodi inaisha soon ukamlipie, wewe umemjibu kivingine..
Wala usijari mimi sikua na maana ya kutaka kulipiwa kodi maana nitakubebesha mzigo mzito sanaKheeee we Davet ebu kuna hapa mwenyewe siishi kwenye nyumba ya fance nipo nanjilinji huku na chumba changu kimoja
Sasa ukiwa kiben10 matumizi yako lazima akugharamie bana[emoji23][emoji23]hahah mkuu umenichongea bhn sikua na maana hiyo kabisa....
Wala usijari mimi sikua na maana ya kutaka kulipiwa kodi maana nitakubebesha mzigo mzito sana
Sasa umemuwahishia majukumu, muache kwanza aje kutembea alafu akitoka tu hayo majukumu atayahitaji mwenyewe bila ata kuambiwaSasa ukiwa kiben10 matumizi yako lazima akugharamie bana
Sina hela ya kumlipia mieJamani Shunie, eti kivulanaa Lol!Sikumaanisha fensi ya nyumba ila nilimaanisha umekataa kumlipia kodi kiben10 wako Davet
Sio utanibebesha wakulipa nani me ngoma ngumu jamani[emoji23][emoji23]hahah mkuu umenichongea bhn sikua na maana hiyo kabisa....
Wala usijari mimi sikua na maana ya kutaka kulipiwa kodi maana nitakubebesha mzigo mzito sana
Sasa ukiwa kiben10 matumizi yako lazima akugharamie bana
Hizo mambo siziwezi mie na uwezo hata sinaSasa umemuwahishia majukumu, muache kwanza aje kutembea alafu akitoka tu hayo majukumu atayahitaji mwenyewe bila ata kuambiwa
Hulipi kodi unakuja tembea tu kodi nalipa mwenyeweSio utanibebesha wakulipa nani me ngoma ngumu jamani
Sasa unavyoniambia majukumu mengine nitajione nikifikaHulipi kodi unakuja tembea tu kodi nalipa mwenyewe
Wewe fata ninachokuambia usifate ninachowaambia. Sawa?Sasa unavyoniambia majukumu mengine nitajione nikifika
Mh unanitisha sasa jamaniWewe fata ninachokuambia usifate ninachowaambia. Sawa?
Usiogope wewe mtoto mimi sindio nakuambia yaliyopoMh unanitisha sasa jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto me mkubwa wakoUsiogope wewe mtoto mimi sindio nakuambia yaliyopo
[emoji115] Hii ni kauli isiyoweza kuthibitishwa kwahiyo dia kubaliana na yote tu... [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto me mkubwa wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bichwa lako[emoji115] Hii ni kauli isiyoweza kuthibitishwa kwahiyo dia kubaliana na yote tu... [emoji2]