Kwa hiyo!!
Mi naitwa Zero IQ, Namiliki kiwanda cha uchakataji, kuchakata viazi kuwa chipsi,
SI haba mashalaaaah!!! ,karibu bibie akikukwaza mtu usisite kunitag mwana dada
Chura umeionaa ?Unasoma la ngapi totoo?
Mimi nina adabu sana kwa wanafunzi siyo kama wewe unakula hadi walokole bila hata ya kuwaangalia usoni!Chura umeionaa ?