Helow people!!!! Mimi mgeni huma xo nahjaji kampani yenu

Karibu mgeni.

Nisaidie, sijaelewa hapo uliposema "huma xo nahjaji".
 
Kweli wewe ni mgeni jf, lakini inawezekana ni mgeni hata Lugha ya Kiswahili!

Nakusihi lugha za kipuuzi za kuandika x ukimaanisha s, uachane nazo huko fesibuku

Hapa ni kiswahili fasaha ama kiingereza fasaha tu
 
ulipata Div ngapi?maana naona unakuja na kiswahili cha ku rap!
 
Karibu ila siku nyingine andika "so" na sio "xo" mnatuchefua..
 
Kweli wewe ni mgeni jf, lakini inawezekana ni mgeni hata Lugha ya Kiswahili!

Nakusihi lugha za kipuuzi za kuandika x ukimaanisha s, uachane nazo huko fesibuku

Hapa ni kiswahili fasaha ama kiingereza fasaha tu

Thanks. Mkuu Yericko Nyerere. Hili la kuharibu lugha linanikera sana, afadhali umenisaidia.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…