Help: Asycuda ya TRA na mtandao wa Zantel

Help: Asycuda ya TRA na mtandao wa Zantel

ThinkPad

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
1,844
Reaction score
235
Jamani nimeshikika naitaji kuelewa hivi ukitumia mtandao wa Zantel na asycuda inakubali maana nimejaribu naona mauza uza kama kuna mtu mwenye data zozote naomba anisaidie maana nimeshazunguka sana naona sipati maelezo yaliyo nyooka.
 
Jamani nimeshikika naitaji kuelewa hivi ukitumia mtandao wa Zantel na asycuda inakubali maana nimejaribu naona mauza uza kama kuna mtu mwenye data zozote naomba anisaidie maana nimeshazunguka sana naona sipati maelezo yaliyo nyooka.

Jamani mnisaidie hjii isue
 
Uko katika Sector ya Clearing and Forwarding?
 
Kama kampuni yako ni Member wa TAFFA, mwone President wa TAFFA. Wamepewa special offer ya Internet kwa ajili ya ku-access ASYSCUDA.
 
Kama kampuni yako ni Member wa TAFFA, mwone President wa TAFFA. Wamepewa special offer ya Internet kwa ajili ya ku-access ASYSCUDA.


Nipo mwanza na ninatumia internent ya Zantel.
 
Back
Top Bottom