Help help help help help plz!

Mkalibari

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
659
Reaction score
399
Jamani wadau natafuta kitabu hiki kwa udi na uvumba mwenye msaada jamani ajitokeze.

Educational planning and administration by .Emanuel BAbyegeye.the open university of tanzania fuculty of education.

NB.nahitaji original sio copy.
 
Una uhakika ni kitabu? Kilichapwa lini na nani?

Kama unamjua mchapaji anza nae kwanza. Maana hakionekani hata online.

I hope hukumaanisha "Journal of Educational Planning and Administration".
 
Una uhakika ni kitabu? Kilichapwa lini na nani?

Kama unamjua mchapaji anza nae kwanza. Maana hakionekani hata online.

I hope hukumaanisha "Journal of Educational Planning and Administration".

Dah ndugu yangu...kuna mtu anasoma saut ndio kaniomba nimtaftie sasa kabla cjaenda mbali nikaona nianze na hapa jf
Ila sina uhakika kama nimepatia details zake ila yeye ndio kanipa taarifa hizo
 
Dah ndugu yangu...kuna mtu anasoma saut ndio kaniomba nimtaftie sasa kabla cjaenda mbali nikaona nianze na hapa jf
Ila sina uhakika kama nimepatia details zake ila yeye ndio kanipa taarifa hizo

Double check hizo taarifa zake. Inawezekana ikawa ni kitabu.

Inawezekana ikawa ni article kwenye Journal of Educational Planning and Administration
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…