salam wanandugu!!!
sasa ni jamboree hili moja nilikua nahtaj msaada wenu, wap kuna uwezekano wa kupata private hostels o room za kurent., itakayokua rahc na kufka chuoni Ardhi...I hop nimeleta maada jukwaa linalofaa coz tc ol abt a ples to stay uli kupata education yangu bila shda hapi ardhi university!
Tatizo la jf ndo hili yani kuna watu kila kitu lazima wa comment mathread yanakua makubwa but ndani ni up u uzi tu kama hujaelewa lugha acha usicomment kwani kuna rule inasema lugha lazima kiswahili? may be katumia lugha yao so sio lazima uelewe wenye kuelewa watamjibu nawasilisha
mapovu yanakutoka nini sasa mbona aujampa ushauri au kufura kama kobra anaetaka kutema mate,we kuna jamaa ameweka red ktk maneno tata soma vizuri udadavue ni lugha ipi imetumika
tatizo lao wanaleta viswahili vya mtaani au kama kijiweni, maeneo ya kupanga nenda savey, msewe, golani utapata vyumba kuanzia 35,000 hadi 50,000 kwa msewe na golani.
Tatizo la jf ndo hili yani kuna watu kila kitu lazima wa comment mathread yanakua makubwa but ndani ni up u uzi tu kama hujaelewa lugha acha usicomment kwani kuna rule inasema lugha lazima kiswahili? may be katumia lugha yao so sio lazima uelewe wenye kuelewa watamjibu nawasilisha
tatizo lao wanaleta viswahili vya mtaani au kama kijiweni, maeneo ya kupanga nenda savey, msewe, golani utapata vyumba kuanzia 35,000 hadi 50,000 kwa msewe na golani.
salam wanandugu!!!
sasa ni jamboree hili moja nilikua nahtaj msaada wenu, wap kuna uwezekano wa kupata private hostels o room za kurent., itakayokua rahc na kufka chuoni Ardhi...I hop nimeleta maada jukwaa linalofaa coz tc ol abt a ples to stay uli kupata education yangu bila shda hapi ardhi university!
Kajifunze kuandika vizuri ndo uje huku kuomba msaada
Tatizo la jf ndo hili yani kuna watu kila kitu lazima wa comment mathread yanakua makubwa but ndani ni up u uzi tu kama hujaelewa lugha acha usicomment kwani kuna rule inasema lugha lazima kiswahili? may be katumia lugha yao so sio lazima uelewe wenye kuelewa watamjibu nawasilisha
sawa Dr. asante kwa ushaur
science in information system and management