Mourine Abel
Member
- Jul 16, 2012
- 6
- 0
Anaejua dawa ya kurudisha hedhi, ni takribani miaka miwili dada yangu hajapata hedhi.
Kukoma hedhi inaweza kuwa dalili ya polysistic ovaries AMA fibroids.
Ni muhimu aende kwa gynae kwa ajili ya vipimo na ushauri