Help on how to know balance with zain 400mb

Help on how to know balance with zain 400mb

manyembe

Member
Joined
Feb 10, 2010
Posts
8
Reaction score
0
naomba msaada wadau wa tech jinsi ya kujua salio wakati nnapotumia internet ya zain...
 
Kuna tatizo kwenye server, pia kuna tetesi kuwa watanzania waliokuwa wanafanya hizo kazi waliondolewa na nafasi zao kuchukuliwa na Wakenya, ambao wameshindwa, ndiyo maana kwa week ya pili sasa huduma nyingi ni kama zimesimama.
 
Back
Top Bottom