Mfaano ameajiriwa ktk shirika inakuwaje? Na kama ameajiriwa ktk private firm?anaweza changia ktk izo security funds, na ivyo vyama vya wafanyakazi?vp km ndo kaajiriwa serikalini na sio memba wa pspf.lapf,gepf atakatwa izo contributions?thanks ndugu,cmz u knw alot!