Help please

Virtuouswoman

New Member
Joined
Jun 21, 2009
Posts
2
Reaction score
0
Salamu wana JF, ndugu yenu natafuta ajira in HR, nina few years of experience UK- nimesoma MA in HR, pls tusaidiane. Ningependelea zaidi nafasi za Dar - Asante my nduguz
 
Wanajamii, na mimi naomba msaada, natafuta kiwanja cha serikali kilichopimwa medium or low density along bagamoyo road, nimepata tetesi kwamba serikali imepima viwanja maeneo ya Boko Mbweni. Sijua hata pakuanzia, nitapataje kiwanja huko?
 
Wanajamii, na mimi naomba msaada, natafuta kiwanja cha serikali kilichopimwa medium or low density along bagamoyo road, nimepata tetesi kwamba serikali imepima viwanja maeneo ya Boko Mbweni. Sijua hata pakuanzia, nitapataje kiwanja huko?

Umekuja wakati muafaka. Wasiliana na Maxence Melo 0713444649

Pia kuna block nzima inauzwa kibada. 1500sq, 18mil
 
Asante, ingawa namba haipatikani lakini naendelea kumtafuta

Nami niligundua hapatikani later. Lakini mtafute asubuhi ikishindikana mtumie e-mail. Check kwenye posts zake huwa anaweka full contact
 
Wanajamii, na mimi naomba msaada, natafuta kiwanja cha serikali kilichopimwa medium or low density along bagamoyo road, nimepata tetesi kwamba serikali imepima viwanja maeneo ya Boko Mbweni. Sijua hata pakuanzia, nitapataje kiwanja huko?

Pia waweza kutembelea website hii Houses and apartments for sale and rent in Tanzania. Utapata viwanja na nyumba kwa Boko Mbweni na sehemu zingine mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…