dada yangu napata wasiwasi kuwa wewe ni kile kizazi cha tuisheni mpaka masterz yako full kusaidiwa na mwalimu wa tuisheni...sasa hapa ulipofikia ndipo ilee elimu mtaani dot com inatakiwa kutumika na wala haina desa wala mwalimu wa tuisheni...hapa unatakiwa kuihakikishia dunia 1+1= 11 na sio 2 kama ulivyokaririshwa shuleni...
pole sana ila kazi unayo...maana napata picha hata huelewi uliomba kazi gani maana hata hayo maswali utakayoulizwa kwenye interview huyajui au hukuwahi kuyasomea chuoni....
my doggg...naskia sikuhizi mitihani ya university kuna wataalamu wakulipwa kuwafanyia wenzao exams...soooo..NAOMBA NIKAKUFANYIE INTERVIEW YAKO....ila mnhhhhh...mie dume aiseee..bana eeeee...hilo unalo...unelikoroga LINYWEEEE