...mkuu cjakusoma fresh,hapo mchicha nikifika nimwone nan?or ni sehemu ambayo pana watu wanalima bustani za mboga so nikifika niwaone hao?
Hapo wanalima mbogamboga sana karibia na kituo kipya cha mafuta au karibu nashule ya sekondari kibasila...mkuu cjakusoma fresh,hapo mchicha nikifika nimwone nan?or ni sehemu ambayo pana watu wanalima bustani za mboga so nikifika niwaone hao?