Helsb watoe sababu.

Segele

Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
9
Reaction score
1
Jamani vijana mjiandae kisaikolojia ili ucje katisha maisha kwa kukosa mkopo.
Tujifunze kitu na tujue wazi serikali haina nia ya dhati na hatima ya Elimu TZ.
Ni muda muafaka kuutathmini upya UONGOZI WA NCHI HII.
Naomba muelekeze hasira zenu juu ya upuuzi huu.
Mie nimeamua nirudi kjjn kwetu nikaandae mashamba eka 10.ukitaka ntakukarbsha hom tupige kaz tuxbr mwakani tukiwa na kianzio.Ameen
 
Daaah....maisha haya yananirudisha kuifikiria siku ya kampeni sijui ntamsikiliza nani kwa upuuzi wa sera...mwaka jana bilioni 3 zilitolewa na serikali kwa mikopo ya elimu ya juu.......xo kumamae zao hakuna sera inayotubeba hvyo kupitia mtandao tuchukue hatua
 
Umefanya haraka sana, upo umuhimu wa kufanya maamuzi sahihi wakati kichwa kimepoa unless ada haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…