Pandamlima
Senior Member
- Feb 27, 2013
- 143
- 13
Mpe pole zangu mgonjwa ukikosa Dawa nitafute kwa kubonyeza hapa.MawasilianoWadau tunaomba msaada wa tiba ya huu ugonjwa,,,kama ni asili au ya tiba ya kisasa tutashukuru kuna mwana jf mwenzetu anasumbuliwa,,,,,uvimbe huu ni shida kila aendapo haja kubwa maumivu ni kali na damu humtoka
ushauri tafadhali
anywe maji mengi matunda kwa wingi na mboga mboga
Sorry! Maji gn unazungumzia?
Wadau tunaomba msaada wa tiba ya huu ugonjwa,,,kama ni asili au ya tiba ya kisasa tutashukuru kuna mwana jf mwenzetu anasumbuliwa,,,,,uvimbe huu ni shida kila aendapo haja kubwa maumivu ni kali na damu humtoka
ushauri tafadhali