Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Dogo siku zote ni matatizo.... he thinks amesha-achieve kila kitu
<br />kwani amesema hayo maneno wapi?kwenye shindano?au media za kenya?<br />
<br />
kama amesema kwao huko kinondoni sioni tabu..
<br />
<br />
kayasema live mbele ya tv baada ya kuperform
Siwezi kushangaa kwa sababu the guy alikuwa ni msindikizaji parse!
Leo ilikuwa ndo grand finale...mshindi keshapatikana?
<br />mitoto iliyolelewa na bibi bana......haikui hata siku moja...
Mshindi ni Alpha, Msechu na David......big up Msechu