Hemed Kivuyo, Napenda anavyoripoti kwa kweli!

Snipper

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,336
Reaction score
2,171
Wanajamvi,
kuna mtangazaji wa ITV huwa anaripoti michezo kwa Dar es salaam kwa kweli nimetokea kupenda anavyoripoti kwa kweli. Amefanikiwa kubuni sauti ya kipekee inayomvutia msikilizaji mpaka mtu unakuta huwezi kubanduka kumsikiliza..hasa kwa jinsi anavyochanganya mikogo ya sauti.
Big up sana Kivuyo and keep it up!
 
Au ndio wewe Kivuyo unajipa ujiko? Kova mungine wewe
 
Au ndio wewe Kivuyo unajipa ujiko? Kova mungine wewe
unahisi jamaa anajipigia chapuo? sidhani kama ni kweli. hata mimi namkubali jamaa kwa jinsi anvyoripoti michezo.
by the way kova huwa na yeye anakuja humu kujipigia chapuo? kama ni kweli hilo nalo neno
 
kwakweli hata mimi namkubali sana hemedy, kama leo ndio kaniacha hoiii
 
kwanza itv hawajawahi kuwa na habari0za michezo za kuvtia iweme huyo jamaab atangaze michezo vzr?labda yanga he is biased.simpend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…