Tumeshakuzoea Mama.Kipindi kimedoda kilianza kwa kiki za kijinga na bado kinaendelea na kiki za kijinga
Mara kumi shilawadu
Numbisa hapa nimeweka kauli ya Hemedi tujadili sasa wewe unaozungumzia kipindi Kama ni chuki hii sasa imepitiliza.Kipindi kimedoda kilianza kwa kiki za kijinga na bado kinaendelea na kiki za kijinga
Mara kumi shilawadu
Numbisa hapa nimeweka kauli ya Hemedi tujadili sasa wewe unaozungumzia kipindi Kama ni chuki hii sasa imepitiliza.
Nitaandikaje habari bila source yake?Imeuma ee ka haukutaka tukijadili na kipindi basi usingekipa promo ungemuandika hemed pekee
Nitaandikaje habari bila source yake?
Jamaa ana mambo yakijinga Sana.Hizi kiki za kijinga, badala afanye kazi nzuri tumuone ye anajisifia ujinga ili aonekane ,poor him[emoji51][emoji51], mastars wetu hawa kazi kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asingizie au ni kweli,? Afu mbona inajulikana wazi kabisa huyo ni vanilla ya mtu, lolJamaa zama zake zishaisha sasa anatafuta kiki za kijinga, kesho atajisingizia yeye ni shoga ili tumuongelee tu, "umaarufu na gharama zake"