Kwan huko zambia kuna muvi industry ya maana??
Bora Hata hapa bongo
Zambia Hamna dili
Phd ndo nani?
Jamaa ni msanii wa filamu (Maigizo) na mwanamuziki pia hapa Tanzania. Jina lake kabisa ni Hemed Suleiman na la kuigizia ni Hemedy. Sasa issue ya PHD nasikia anamaanisha President of Handsome Tanzania.
PHD ni Pretty Huge Dude hiyo yako ni PHT mkuu
Phd ndo nani?
Jamaa ni msanii wa filamu (Maigizo) na mwanamuziki pia hapa Tanzania. Jina lake kabisa ni Hemed Suleiman na la kuigizia ni Hemedy. Sasa issue ya PHD nasikia anamaanisha President of Handsome Tanzania.