Henri joseph 'sindika' asaini konvinga fc-norway,four years

Henri joseph 'sindika' asaini konvinga fc-norway,four years

Teamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2009
Posts
12,271
Reaction score
1,052
hivi tunavyoongea,SINDIKA ameshasaini mkataba wa miaka minnena KONVINGA FC-NORWAY,timu ya daraja la kwanza hiyo mwanawane.Amesisisitiza ni 'mkataba mnono' wa miaka minne,ila ameomba wakala wake asitaje kiwango cha pesa anachokula

muda huu naandika thread,sindika anashughulikia flat ya kuishi yeye huko norway,na kufungua akaunti ambayo 'kitita' hicho kitakuwa kunaingia

dah!MPIRA UNAKUA SASA TANZANIA
HONGERA SANA BABA!
 
Haya ni maendeleo kwa mpira wa Tanzania, hongera sana Henry Joseph!
 
This bwana mdogo is really good. Discipline + hardworking atafika mbali
 
Nasikia dogo atakuwa anakula 15m kwa mwezi.....na kila game analipwa 1000$ duuu atakuwa juuu mnoo...ila sasa asije akajisahauu kabisaa maana ss wa tz ni balaa..utashangaa anarudi baada 1 yr bonge la ndambii
 
Huu ni mfano kwa wachezaji wengine ambao wanakimbilia kuanza na ligi kubwakubwa ambazo ni juu ya uwezo wao. Wakaanze kwanza kwenye ligi za size ya kati na baadaye wataonekena na timu za ligi kuwa baada ya kujituma na kufanya vizuri
 
Back
Top Bottom