Henry Alfred Kissinger atimiza miaka 100

1973 Nixon alimteua Kissinger kama secretary of state. Mwaka 1971 alienda Beijing kukutana na Mao Tse Tung na kuratibu ziara ya Nixon China. Je, 1971 Kissinger alienda China kama nani?
 
Alipelekeshwa sana na J.K Nyerere.

Kupelekeshwa.....?

Inasemwa huyu jamaa ni muhalifu wa kivita, isitoshe sera zake za kuzuia kupanuka kwa ushawishi wa Ussr huku Africa zilichangia utawala wa kikaburu kubakia madarakani kwa muda mrefu huko Africa Kusini.
 

Attachments

  • 5317.jpg
    25.2 KB · Views: 4
Mwamba huyu hapa,namkubali sana jamaa yeye pamoja na Joe Senior Baba yao President Kennedy, Robert Kennedy na Tedy Kennedy.
 
Nenda Sudan kawatete Waafrika wenzako wanaopigana wao kwa wao.
 
Myahudi, hawa ndio wenye Marekani na dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…