Here is why the NWO globalists felt they had to get rid of Trump

Mtoa Uzi pamoja na njama ulizo zungumza kuhusu WNO dhidi ya Trump na chepuo zao kwa Biden. Mimi nikukumbushe tu kuwa Tanzania Ni moja ya mataifa yanayoipinga chanjo hii japokuwa kwenye taarifa yako umesema Hakuna mamlaka zilizopinga wazi.

Zaidi sio Urusi na China tu Bali hata Tanzania tunajikita katika chanjo zisizo shambulia DNA za binadamu japokuwa Kama yupo mtanzania ambaye anataka chanzo ya ulaya kwa ulazima wake anaruhusiwa kuigharamia.

Mwisho, nakumbuka nilicomment kwenye Uzi Kama huu kuwa ukiona DR. Magufuli anapinga chanjo yao ujue Kuna sababu nzuri Hapa. Nikasema Dr. Ni profesa baridi nikaishia zangu.
 
Hujui chochote kuhusu chanjo,.zaidi sana hujui chochote kuhusu chanjo za COVID 19 zinazotengenezwa Urusi, China au sehemu nyingine yoyote ya dunia.
 
Hujui chochote kuhusu chanjo,.zaidi sana hujui chochote kuhusu chanjo za COVID 19 zinazotengenezwa Urusi, China au sehemu nyingine yoyote ya dunia.

Nielimishe chanjo ni nini?
 
NWO hawataki kuona Israel inasimama na kukubalika dunia nzima?
 
Ukweli mtauita Qanon.Kwenu upi ni ukweli sasa,the fake news of the BBC,CNN,Aljazeera etc.?Mtadanganywa sana.Kwa jinsi hiyo ni lazima mbaki mbumbu.
Congratulations for being "unplugged"! 👏👏Enjoy living in your new reality.
 
Five again😂😂😂

Naona wale wa mitano tena chini ya mti wenzangu mmepita myaki myaki hapa
Nimewawakilisha na ka dikshenari ka babu hap juu😂😂😂
 
Hujui chochote kuhusu chanjo,.zaidi sana hujui chochote kuhusu chanjo za COVID 19 zinazotengenezwa Urusi, China au sehemu nyingine yoyote ya dunia.
Sawa Mkuu. Endelea na harakati za ubelgiji.
 
A bunch of bullshit ...
 
Kabisa kumlaumu mzungu ni ukichaa uliopitiliza,,,, angalia Congo mnavyochinjana,, angalia Tz mnavyobambikiana kesi za uaji, uhaini,,utesaji,, angalia Burundi, Rwanda, Uganda nyinyi kwa nyinyi mnachinjana,,
Mzungu asante kwa kuteletea smartphones,, cars(Land cruiser yale wanayopandaga viongozi wa nchi) Bombardier (midege ya kusafirisha binadamu, wanyama, maparachichi,) bila kusahau meli,,,
Kama wazungu walitaka kutuua sisi, basi tungekuwa tumekufa mapema sana hata kabla ya Uhuru.
 
Need time to read this article, will be back..
 
Sikulaumu hujui kabisa what is going on.Wewe ni lazima utakuwa wa kizazi cha awamu za Mwinyi,Mkapa na Kitwete.Unaweza pia kuwa mtu wao wa state capture au kuadi wao.Alternatively unaweza pia kuwa zuzu tu la aina fulani hivi.Hii inaonyesha kwamba kuna haja ya kubadilisha mitaala tena kwa haraka,ili vijana waijue Historia yao na hivyo waweze kujitambua.This is a disaster.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…