Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 104
NI sawa hakuna tatizo lolote hapo. Isipokuwa kama utaingia kwenye DINI, kama huna dini y'r r't.
Hereni mtoto wa kiume! Mmmmh..!
Kuvaa hereni ilianzia kwenye jeshi la Marekani,wale wanaume waliokuwa wanatoa "tigo"ndo walikuwa wanavaa hereni na vikuku!Kusuka nywele ni aina nyingine ya ukichaa,na anaefanya hivyo ana element za ushoga!
Hapo nakupata, sio siri element za kuchora 7 zipo, inakuaje mwanaume uvae hereni kama za dadaako, usuke nywele ka mamaako afu ujiite dume?
Tuachane na zile za asili kama za wamasai ambao huvaa hereni wakiwa ndani ya mavazi yao ya asili, sasa we haupo kwe asili afu umetoga masikio, nyusi, nk mfn Aliekuwa mtangazaji wa EATV Ben K. Sasa ile ni asili au ni nini?
Punguza makali ya maneno dogo!
ni neno gani ametumia ukali mkubwa?