Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!
Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.
Mh,sio wewe uliyekuwa unatafuta wachunaji humu,vipi umeshawapata?
Bora jukwaa la MMU linaleta positive changes ndani ya mwili wako na ndani ya nyumba yako.....endelea kufaidi MMU
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!
Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.
teh teh utakuwa mhaya tu wewe....:teeth:
Yaani nimewapata kibao. Ila mipesa bado ipo tu. Nina pesa mpaka najichukia! Unataka kuungana nao?
teh teh utakuwa mhaya tu wewe....:teeth:
jaribu kuwaambia wale wa kule kwenye siasa mkutane kuongea mustakabali wa nchi au waambie wale wa kwenye dini mkutane kwa ajili ya maombi uone.....lakini hapa MMU watu tunakula bata bana.....wacha kabisa........he he he....hapo tar 27/12 sijui itakuwaje.......karibu lakini
jaribu kuwaambia wale wa kule kwenye siasa mkutane kuongea mustakabali wa nchi au waambie wale wa kwenye dini mkutane kwa ajili ya maombi uone.....lakini hapa MMU watu tunakula bata bana.....wacha kabisa........he he he....hapo tar 27/12 sijui itakuwaje.......karibu lakini
bora jukwaa la mmu linaleta positive changes ndani ya mwili wako na ndani ya nyumba yako.....endelea kufaidi mmu
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!
Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.