Heri Sasii umefaulu Sana kutunza Muda wa mchezo.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Mechi Kati ya Simba na Namungo imemalizika Kwa Sare ya 1-1.

Kwangu kilichonifurahisha ni jinsi Mwamuzi wa Kati na Mwamuzi wa 4 walivyojitahidi kutunza Muda wa mchezo.

Kumbe marefa mnaweza mkiamua. Namungo walijitahidi kupoza mchezo na kupoteza Muda lakini Sasii aling'amua ujanja wao.

Leo Muda uliopotezwa hauzidi dakika 5 na kweli zikaonhezwa 4. Waamuzi wengine mna la kujifunza Kwa Sasii kuhusu suala la time management.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…