Heri Tanzania iombe kibali haraka tuwe Jimbo jipya la Marekani

Heri Tanzania iombe kibali haraka tuwe Jimbo jipya la Marekani

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Malalamiko yamezidi sana kuhusu ugumu wa uchumi, mikopo, na mdororo wa viongozi wenye akili mufilisi, kama ccm wanaogopa katiba mpya na mihadhara ya kisiasa, ni wakati mzuri tutumia fursa ya Utawala Biden tuombe kibali Cha kuungana na Marekani tuwe Jimbo jipya la Marekani, tuutumie uzoefu huu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kufanikisha hilo kwa haraka na tukwepe kigingi cha madeni yetu hapo baade.

Tuitumie hii fursa haraka, fursa zipo za kukwamua taifa hili kiuchumi.

Tumalize mijadala ya Tozo na mikopo ya kuunga unga.

Kupanga ni kuchagua
 
Hata ikitokea marekan ikatangaza fulsa ya kuongeza majimbo zinaweza kwenda nchi zote za afrika ila sio tanzania na sio kwamba sisi tunajua kupiga hesabu vizuri ila huwezi mpeleka nape nauye sehemu ambayo hajui kesho atakua nani
 
Hata ikitokea marekan ikatangaza fulsa ya kuongeza majimbo zinaweza kwenda nchi zote za afrika ila sio tanzania na sio kwamba sisi tunajua kupiga hesabu vizuri ila huwezi mpeleka nape nauye sehemu ambayo hajui kesho atakua nani
Mtoto wa mama eti eeeh?
 
Ni wazo lako hilo na una haki pia

Ila kuwa dhalili kiasi hiki ni options za mwisho kabisa kufikiria haya

Hatuaminiki na nchi yoyote kwa sababu hata wao wanafanya tafiti zao kabla

Hujiulizi kwa nini viwanda vingi sana vya wazungu vipo Asia na sio Africa? (Uaminifu na uchapaji kazi)

Unafikiri Bangladesh wanatuzidi nguvu hapana bali maarifa
Nguo zote za maduka makubwa duniani wengi wanashonesha Bangladesh tena mafundi wanawake

Sisi tukiletewa pikipiki kuunganisha washels na bolt na nuts baadhi hufungi sijui unamkomoa nani?

Je unafikiri mabalozi waliopo nchini hawaoni haya au kazi yao ni kuzurura tu kama mabalozi wetu wasiojua hata kazi zilizowapeleka nje?

Nina hasira hapa we niache tu yaani wizi ndio unatufanye hata miaka 100 mbele tuwe masikini tu

Halafu eti mtu anawaza miaka 10 tu ijayo tutapiga hatua ngapi what a joke [emoji1787]
 
Ni wazo lako hilo na una haki pia

Ila kuwa dhalili kiasi hiki ni options za mwisho kabisa kufikiria haya

Hatuaminiki na nchi yoyote kwa sababu hata wao wanafanya tafiti zao kabla

Hujiulizi kwa nini viwanda vingi sana vya wazungu vipo Asia na sio Africa? (Uaminifu na uchapaji kazi)

Unafikiri Bangladesh wanatuzidi nguvu hapana bali maarifa
Nguo zote za maduka makubwa duniani wengi wanashonesha Bangladesh tena mafundi wanawake

Sisi tukiletewa pikipiki kuunganisha washels na bolt na nuts baadhi hufungi sijui unamkomoa nani?

Je unafikiri mabalozi waliopo nchini hawaoni haya au kazi yao ni kuzurura tu kama mabalozi wetu wasiojua hata kazi zilizowapeleka nje?

Nina hasira hapa we niache tu yaani wizi ndio unatufanye hata miaka 100 mbele tuwe masikini tu

Halafu eti mtu anawaza miaka 10 tu ijayo tutapiga hatua ngapi what a joke [emoji1787]
Punguza hasira tufanye petition tuombe kibali cha kuungana na Marekani, tuibadilishe Tanzania.
 
Tunataka tuwe jimbo au mkoa wa russia au china

Urusi wameanza kwa free entry visa...!

China ni washirika wetu wa kihistoria

Marekani ni ....
 
Ni wazo lako hilo na una haki pia

Ila kuwa dhalili kiasi hiki ni options za mwisho kabisa kufikiria haya

Hatuaminiki na nchi yoyote kwa sababu hata wao wanafanya tafiti zao kabla

Hujiulizi kwa nini viwanda vingi sana vya wazungu vipo Asia na sio Africa? (Uaminifu na uchapaji kazi)

Unafikiri Bangladesh wanatuzidi nguvu hapana bali maarifa
Nguo zote za maduka makubwa duniani wengi wanashonesha Bangladesh tena mafundi wanawake

Sisi tukiletewa pikipiki kuunganisha washels na bolt na nuts baadhi hufungi sijui unamkomoa nani?

Je unafikiri mabalozi waliopo nchini hawaoni haya au kazi yao ni kuzurura tu kama mabalozi wetu wasiojua hata kazi zilizowapeleka nje?

Nina hasira hapa we niache tu yaani wizi ndio unatufanye hata miaka 100 mbele tuwe masikini tu

Halafu eti mtu anawaza miaka 10 tu ijayo tutapiga hatua ngapi what a joke [emoji1787]
Wa tz waaminifu ni wakuhesabu.
 
Wa tz waaminifu ni wakuhesabu.
Mimi mmoja wapo

Nilikuwa nauza biashara kwa jumla mteja akaniambia pitia hela jioni nilipoendea hela nilikuwa namdai 2.5m ila aliandaa nyingi bila kujua

Akanikabidhi kiasi ambacho naona kabisa ni x2 yake
Nikakata changu nikampa baki ya 2.5 zote zilikuwa 5m hakuamini kama nimemrudishia

Wangapi wwngerudisha hapa?
 
Malalamiko yamezidi sana kuhusu ugumu wa uchumi, mikopo, na mdororo wa viongozi wenye akili mufilisi, kama ccm wanaogopa katiba mpya na mihadhara ya kisiasa, ni wakati mzuri tutumia fursa ya Utawala Biden tuombe kibali Cha kuungana na Marekani tuwe Jimbo jipya la Marekani, tuutumie uzoefu huu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kufanikisha hilo kwa haraka na tukwepe kigingi cha madeni yetu hapo baade.

Tuitumie hii fursa haraka, fursa zipo za kukwamua taifa hili kiuchumi.

Tumalize mijadala ya Tozo na mikopo ya kuunga unga.

Kupanga ni kuchagua
Hakuna haja ya kuomba kibali marekani ambao hawana haja na ardhi za nchi nyingine. Mwambie Putin alete "referendum" na jeshi lake kwa vile urusi ina hamu sana ya kuongeza ukubwa wa ardhi yake kwa kuchukua nchi kutoka nyingine.
 
unafikiri kwa fikra kama hizi tutaondoka kwenye utumwa wa ccm?
Wewe mtoto wa Butale unapo pakwenda ndiomana, nchi haitaki mijadala mwenye media sasa tuungane mwasisi wa democrasia tupate unafuu wa fikra na Maarifa
 
Back
Top Bottom