dats y nkasema hapo mwisho heri tubadili tabia. unajua weng tunakimbilia kuwalaumu wengne bila kujiangalia mienendo yetu wenyewe kwanza. jiangalie km yale unayotaka kufanyiwa je we unamfanyia mwenzio? km unamfanyia then yeye hafanyi hapo ruksa kulaumu. pia angalia na watu unaotaka kudate nao co umemwona leo kesho unataka kudate nae bila kumchunguza,hapo utaishia kumlaumu tu kumbe ndo tabia yake!
Tatizo ni kuwa watu wengi wanazifumbia macho dalili zinazomtambulisha mtu mwongo (awe mwanamke au mwanaume). Ukiwa makini na kuzisoma details ndogo ndogo za mwenzi wako lazima utaona viashiria vya mtu mlaghai. Watu wengi hupuuzia hivi viashiria halafu wanakuja kushtushwa na tukio la ghafla. Kusoma huwezi basi hata picha...............